BAADA YA KIPIGO CHA MAGOLI MATATU, SIMBA YAMTIMUA KOCHA LOGARUSIC

 
Simba imemtimua kocha wake, Zdravko Logarusic ikiwa ni siku moja tu baada ya kufungwa mabao 3-0 na Zesco ya Zambia.Loga anatuhumiwa kuzozana na wachezaji mara baada ya mechi akiwatuhumu kuonyesha kiwango duni.
Uongozi wa Simba umechukua uamuzi huo baada ya kikao cha takribani masaa matano.
Tayari Simba imeanza kufanya maarifa ya kumpata kocha mpya.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger