TUNDA MAN AMTOLEA YA MOYONI EDWARD LOWASSA, SOMA ZAIDI HAPA

 
Kutana na ya moyoni mwa Tunda Man, staa wa bongofleva kutokea kundi la Tiptop Connection ambapo amepost picha kadhaa na maelezo yake kwenye mtandao wa instagram.
Ya kwanza ni hiyo hapo juu akiwa kasimama mbele ya mabango yanayomuhusu Mbunge wa Monduli Edward Lowassa anaetajwa sana kuhusu Urais wa Tanzania 2015 ambapo kwenye maelezo ya hiyo picha Tunda Man aliandika ‘fotmation yetu ni 4-4-2′

 
Post nyingine alizoweka Tunda man ni hizi hapa chini akiwa nchini Kenya ikiwa ni siku kadhaa tu baada ya kupona toka apate mshtuko na mwili kukosa nguvu sekunde chache baada ya kupokea simu ya namba asiyoifahamu ambayo sio ya Afrika Mashariki.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger