DIAMOND AKUTANA USO KWA MACHO NA MPENZI WAKE WA ZAMANI, NI SHIDAAAH

Baada ya mahusiano mengi kuvunjika watu huwa hawapendi kuwasiliana wala kukutana na wapenzi wao wa zamani lakini hii ni tofauti kwa mfalme wa bongo fleva Diamond Platnumz baada ya kufanyiwa interview na mpenzi wake wa Zamani Jokate Mwengelo. Picha hizi za Diamond na Jokate zimezua mizozo na matusi mengi kwenye mtandao wa instgram baada ya kila mtu kuelezea hisia zake juu ya wawili hao.
Diamond-Platnumz-na-Jokate

kumbuka Diamond na Jokate walimwagana mwaka 2012 na hivi ndivyo jokate alivyosema kuhusu sababu ya kumwagana kwao kwenye moja ya mahojiano yake :- “Mahusiano ya diamond yalikuwa very strange, I dont know yani..i think ilikuwa kazi lakini I guess it was a time I guess I was frustrated,sielewi yani ilitokea tokea tu

The-one-show-edzee-jokate-diamond-platnumz

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger