MASTAA MAARUFU WA BONGO WANAOONGOZA KWA KUCHUKIWA NA WANANCHI HAPA TANZANA, WASOME HAPA


Uchunguzi huu unatokana na mrejesho katika mitandao ya kijamii , hawa ndio watu maarufu wanaoongoza kwa kuchukiwa au kupotozewa imani na Watanzania hasahasa vijana..

  • 1. Divah loveness love (mtangazaji clouds fm)
  • 2. Ephraim kibonde (mtangazaji clouds fm)
  • 3. Zitto kabwe (Mwanasiasa)
  • 4. William Lukuvi (Mwanasiasa)
  • 5 Mwana F.A ( Msanii)


ushauri..

wote kwa pamoja waangalie ni wapi wamekosea hadi kupata chuki hizo kwa watu na wajirekebishe , japokuwa hauwezi kupendwa na watu wote ila kuchukiwa na watu 8 kati ya 10 ni matatizo....nimeandika humu kwa sababu nawapenda na ningependa mjirekebishe

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger