AUNT EZEKIELI NA WATOTO WA KING MAJUTO NDANI YA CHUNGU MKOANI TANGA, SOMA ZAIDI HAPA



'Hamza King Majuto' Na Aunt Ezekieli katika moja ya picha za behind the sin.

Msanii huyu nyota wa filamu kutoka Bongo Movies mwanadada Aunt Ezekieli kwa sasa yupo Mkoani Tanga kwa maandalizi ya filamu atakayocheza na watoto wa mzee King Majuto. Filamu hiyo itakayotambulika kwa jina la CHUNGU KIMOJA.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger