skip to main |
skip to sidebar
BAADA YA KUWA NA BIFU LA MUDA MREFU NA DIAMOND SASA BABY MADAHA ASALIMU AMRI NA KUAMUA KUACHA MUZIKI PAMOJA NA FILAMU, SOMA HAPA KUJUA ZAIDI
IKIWA imepita miezi kadhaa tangu anaswe katika
mtego wa kujiuza, staa wa Bongo, Baby Madaha ametangaza kuachana na
sanaa ya muziki na filamu kwa maelezo kuwa amechoshwa na maisha ya
presha. Akiongea na mwandishi
wetu juzikati jijini Dar es Salaam, Madaha alisema ishu ile
imemsababishia matatizo makubwa ya kifamilia na hata kibiashara, hivyo kujutia
mchezo mzima ulivyokuwa.
Alisema filamu anayoisambaza
(usisahau kulike page yetu ya mdadisi mambo ka kuclick hapa) kwa sasa na kibao chake cha
mwisho kukitoa cha Mr. Dj ndizo zitakazofunga pazia la mambo ya sanaa kwa
upande wake.
“Nimeamua kuachana na sanaa
kabisa, siwezi kuishi maisha ya presha yasiyo na uhuru. Nitarudi kwenye fani
yangu niliyosomea (hakutaka kutaja), maana naishi maisha ambayo hayana amani
kabisa,” alisema.
No comments:
Post a Comment