IRENE UWOYA ANAHALI MBAYA, ALAZWA HOSPITAL YA AGHA KHAN

Irene Uwoya
Irene Uwoya katika pozi

Taarifa zilizosemwa na rafiki wa karibu wa msanii Irene Uwoya ni kuwa yupo katika hali mbaya zaidi na kufikia hatua ya kulazwa katika hospitali ya Agha Khan akisumbuliwa na Malaria.


Get well soon Irene....

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger