Sukari
hugeuka shubiri pale fumanizi linapochukua nafasi na hiyo ndiyo sababu
ya mwanamke anayeitwa Sheila kukiri kwamba mume wa mtu ni sumu kisha
kujiapiza kuwa hatarudia tena.
Sheila, alifumwa na mume wa mtu anayeitwa Baba Joyce kwenye nyumba moja ya kulala wageni, iliyopo Manzese.
Blog hii ilinyetishiwa fumanizi hilo baada ya vurugu kuanza na eneo la tukio, lilimkuta mwenye mume, Mama Joyce akimsulubu Sheila kwa makonde,
Shuhudia picha hapo chini
Sheila, alifumwa na mume wa mtu anayeitwa Baba Joyce kwenye nyumba moja ya kulala wageni, iliyopo Manzese.
Blog hii ilinyetishiwa fumanizi hilo baada ya vurugu kuanza na eneo la tukio, lilimkuta mwenye mume, Mama Joyce akimsulubu Sheila kwa makonde,
Shuhudia picha hapo chini



No comments:
Post a Comment