SIKILIZA HEKAHEKA YA LEO YA BABA KUMLEA MTOTO AMBAYE SIO DAMU YAKE LAKINI ANAFANANA NAE

images2Mitaani ndiko kunakotokea mambo mengi ya kuchekesha kuelimisha na kufundisha pia,hii Hekaheka inamhusisha mzazi mmoja aliyejitolea kumlea mtoto ambaye si mtoto wake wa damu lakini wanafanana sana,kiasi majirani wamemtilia shaka jamaa huyo baba kaongea kuhusu hilo,sikiliza kupitia 88.0 Clouds Fm Tabora.
Bonyeza play kusikiliza.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger