Akizungumza
kwa huzuni, Snura alisema mwaka huu umekuwa wa majanga kwake kwani babu
yake huyo alimlea na kushika nafasi ya baba yake tangu alipozaliwa hadi
kufikia utu uzima.“Ukweli nimeumia sana na mwaka huu umekuwa ni wa majanga kwangu kwani babu yangu huyo nilikuwa namuita baba kwa sababu yeye ndiye aliyenilea mpaka nikafikia umri huu nilionao, mdogo wangu naye alipata ajali mbaya yuko hoi hospitali, utumbo ulitoka nje na kwenda kufanyiwa oparesheni, nimechanganyikiwa,” alisema Snura.

No comments:
Post a Comment