UDA YALETA MAGARI MENGINE ILI KUTATUA TATIZO LA USAFIRI DSM

Shirika la Usafirishaji Dar es Salaam (UDA), jana lilizindua
 mabasi mapya 175 na kufanya mabasi yaliyopo
 kufikia 288 yatakayokuwa yanatoa huduma ya 
usafiri katika jiji la Dar.


- Ni kati ya 1,000 yaliyonunuliwa na

 hadi kufikia mwezi Juni mwaka huu yote yatakuwa

 yamewasili nchini.



- Lengo ni kufikisha idadi ya

mabasi 3,000 ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.

Creedit: williammalecela blog

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger