“Namshukuru Mungu sana kwa kutupatia mtoto wa kike mimi na mume wangu, huyu mtoto ameongea furaha ndani ya ndoa yetu kwani ameongeza familia,” alisema Kalunde.
HATIMAYE NDOA YA WASANII WA KAOLE YAJIBU
WASANII wa filamu zao la Kaole, Mariamu Athuman
‘Kalunde’ na Khely Ahmed ‘Niko’ ndoa yao imejibu ambapo hivi karibuni
wamepata mtoto. Akizungumza na gazeti hili, Kalunde alisema ana furaha
ya ajabu kufuatia kumpata mtoto wa kike na anamshukuru Mungu kwani
alijifungua salama bila matatizo.
Msanii wa filamu zao la Kaole, Mariamu Athuman ‘Kalunde’ akiwa na mwanae aliyejifungua hivi karibuni.
“Namshukuru Mungu sana kwa kutupatia mtoto wa kike mimi na mume wangu, huyu mtoto ameongea furaha ndani ya ndoa yetu kwani ameongeza familia,” alisema Kalunde.
“Namshukuru Mungu sana kwa kutupatia mtoto wa kike mimi na mume wangu, huyu mtoto ameongea furaha ndani ya ndoa yetu kwani ameongeza familia,” alisema Kalunde.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment