JOKATE: ANASIFIKA KWA KUTOSUMBUA WAKATI AKIWA LOCATION KUPIGA PICHA ZA UMODO

hakika jokate ni modo wa ukweli africa na east africa kwa ujumla hivi karibuni tumefanikiwa kupata picha zake kali ambazo amewahi kupiga katika majalida mbali mbali, pia madirecta wamekuwa wakimsifia kwamba katika modo tz ambao hawasumbui katika swala zima la kuweka pozi anazoelekezwa na kamera man
 

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger