Kama unakumbuka mara ya kwanza kumuona Jokate anaimba basi wengi
watasema walimwona kwenye video ya Kaka Dada aliyoimba na Lucci wakati
video yake ya kwanza ikiwa ni ile ya African Queen aliyoimba na AY. Hivi
karibuni mrembo Jokate Mwengelo alienda nchini Kenya kwa ajili ya
kufanya video ya single yake ya kwanza katika tasnia hii ya muziki.
Video hii amefanya na mtangazaji mkenya, Nick Mutuma ambapo aliimba
nyimbo ya video hii kwa mara ya kwanza kwenye Serengeti Fiesta Mwanza
.Hivi ni baadhi za vipande vya video hii mpya…
Showing posts with label JOKATE. Show all posts
Showing posts with label JOKATE. Show all posts
LAANA: JOKATE ATUPIA PICHA MITANDAONI AKILIWA URODA, KWELI SASA AMEFULIA IONE HAPA MWENYEWE
huu mbinuko wa jokate ni shidaah bhana ndo maana midume kila siku macho juu kah
SOMA NA HII
Shilole aelezea jinsi anavyokunwa na Serengeti boyz wake, kumbe Mziwanda anampa mambo makubwa Shilole hebu yajue hapa===>>http://mdadisitz.blogspot.com/2014/09/shilole-mpenzi-wangu-ambaye-ni.html
JOKATE AFUNGUKA KUHUSU KUINGIA KWENYE BONGO FLEVA
Jokate
Mwengelo juzikati aliamua kujizamisha rasmi kwenye muziki wa Bongo
Fleva baada ya kupanda kwa mara ya kwanza katika Jukwaa la Serengeti
Fiesta 2014, akiwa na madensa wake.
Mwanamitindo maarufu ambaye aliwika na lebo ya Kidoti, Jokate Mwengelo.
Ishu
hiyo ilitokea usiku wa kuamkia Agosti 10 mwaka huu ndani ya uwanja wa
CCM Kirumba jijini Mwanza, ambapo Jokate ‘aliwa-suprise’ mashabiki akiwa
anajiamini akiimba na kutawala steji.Kwa muda wote akiwa jukwaani,
mwanamitindo huyo alicheza staili sambamba na wanenguaji wake pasipo
kupotea hata mara moja kama vile alianza zamani kuimba.
“Nina
kipaji cha kuimba, na ndiyo maana nimekuwa nikiimba kanisani siku zote,
muziki naupenda sema mwanzo nilishindwa kwenda na mambo mawili kwa
wakati mmoja, ila sasa ndiyo nimezindua rasmi harakati za muziki na siku
chache zijazo nitaachia video ya wimbo wangu nilioimba leo,” alisema
Jokate
JOKATE NA DIAMOND WAONEANA AIBU!
Kwa mara ya kwanza tangu walipomwagana, mastaa wawili Bongo, Jokate
Mwegelo ‘Kidoti’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ wanadaiwa kuoneana
aibu walipokutana laivu.
Akiwa na mtangazaji mwenzake, Edzen Jumanne, wikiendi iliyopita Jokate alidaiwa kushindwa kumbana Diamond kwa maswali wakati akimhoji kwenye kipindi kitakachoruka hewani hivi karibuni kupitia TV1.
Baadaye Diamond alitupia mtandaoni picha akiwa na zilipendwa wake huyo hivyo kuibua mjadala mzito kuwa huenda bado wanapendana huku wenyewe wakipiga kimya.
Read more >>
Akiwa na mtangazaji mwenzake, Edzen Jumanne, wikiendi iliyopita Jokate alidaiwa kushindwa kumbana Diamond kwa maswali wakati akimhoji kwenye kipindi kitakachoruka hewani hivi karibuni kupitia TV1.
Baadaye Diamond alitupia mtandaoni picha akiwa na zilipendwa wake huyo hivyo kuibua mjadala mzito kuwa huenda bado wanapendana huku wenyewe wakipiga kimya.
WAANGALIE WEMA NA JOKATE WALIPOKUTANA KWENYE NDEGE
Jokate aliwahi kukiri kwenye exclusive na millardayo.com
kwamba aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Diamond kwa muda
usiozidi miezi miwili ambapo wakati yuko na Diamond zilitoka stori
nyingi pia kuhusu uhusiano wa Wema na Jokate kuingia matatizoni.
Ni stori ambazo ziliandikwa sana na inawezekana mpaka leo watu wengine walikua wanaamini Jokate na Wema hawawezi kukaa meza moja ila Aug 9 2014 Wema Sepetu baada ya kuwasili Mwanza kwa ajili ya show ya Serengeti Fiesta 2014 baadae CCM Kirumba amepost hii picha.
Wakiwa kwenye ndege ya Fastjet Wema na Jokate wakitokea Dar es salaam walipiga selfie ambayo Wema ameipost kwenye instagram page yake na kuandika hayo maneno hapo chini akimaanisha wako poa sasa hivi.

Read more >>
Ni stori ambazo ziliandikwa sana na inawezekana mpaka leo watu wengine walikua wanaamini Jokate na Wema hawawezi kukaa meza moja ila Aug 9 2014 Wema Sepetu baada ya kuwasili Mwanza kwa ajili ya show ya Serengeti Fiesta 2014 baadae CCM Kirumba amepost hii picha.
Wakiwa kwenye ndege ya Fastjet Wema na Jokate wakitokea Dar es salaam walipiga selfie ambayo Wema ameipost kwenye instagram page yake na kuandika hayo maneno hapo chini akimaanisha wako poa sasa hivi.

MPENZI MPYA WA JOKATE MWEGELO BAADA YA KUACHANA NA DIAMOND.
Kupitia
Mtandao wa Kijamii mrembo Jokate amemweka wazi mpenzi wake mpya na
kuonyesha ni jinsi gani alivyo na furaha. This Is Love jamani Tuwaache
wafanye yao... Beautiful Jokate In Love Again
MCHUMBA MPYA WA JOKATE MWAGELO HUYU HAPA, MUONE HAPA
Anajulikana kwa jina la Nick Mutuma ambaye ni msanii asiyeishiwa na vituko kutoka kenya ambaye inasemekana kuwa anadate na Msanii Jokate Mwagelo Kutoka Tanzania baada ya kuachana na mpenzi wake wa zamani ajulikanye kwa jina la Bridgette ,kupitia Instagram Nick alipost picha hiyo akiwa na Jokate huku wakionyesha kuwa na furaha kuwa pamoja
BAADA YA KUTANGAZA SIFA ZA MWANAUME AMPENDAE, NJEMBA KIBAO ZAGOMBEA KUMUOA JOKATE
Baada ya hivi karibuni mwanamitindo Jokate Mwegelo kutangaza kutafuta
mchumba, idadi kubwa ya wanaume wamekuwa wakihaha kusaka mawasiliano
naye huku kila mmoja akijinadi kivyake.
Mara baada ya habari ya Jokate ya kutafuta mchumba kutoka kwenye gazeti hili wiki iliyopita, namba ya simu ya chumba chetu cha habari imekuwa bize kupokea simu za wanaume mbalimbali wakiomba kuunganishwa na mrembo huyo.
Hata hivyo, jitihada za kumuunganisha mmoja mmoja kwa mrembo huyo hazikufanyika ila kwa yoyote anayehisi ana vigezo na ana nia ya dhati ya kumuoa na si kumchezea afike katika ofisi zetu nasi tutamuelekeza njia sahihi ya kumpata.
Read more >>
Mara baada ya habari ya Jokate ya kutafuta mchumba kutoka kwenye gazeti hili wiki iliyopita, namba ya simu ya chumba chetu cha habari imekuwa bize kupokea simu za wanaume mbalimbali wakiomba kuunganishwa na mrembo huyo.
Hata hivyo, jitihada za kumuunganisha mmoja mmoja kwa mrembo huyo hazikufanyika ila kwa yoyote anayehisi ana vigezo na ana nia ya dhati ya kumuoa na si kumchezea afike katika ofisi zetu nasi tutamuelekeza njia sahihi ya kumpata.
BAADA YA KUCHEZA SANA, SASA JOKATE ASAKA MWANAUME WA KUMUOA, NA SI WAKUMCHEZEA
Katika kuonyesha amechoshwa na upweke, mwanamitindo Jokate Mwegelo
‘Kidoti’ ameibuka na kusema kuwa sasa anasaka mwanaume wa kumuoa huku
akitaja vigezo vya anayestahili kumuita mume.
Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi, Jokate alisema kuwa hana ‘mtu’ ila atakapotokea mwenye vigezo anavyotaka, hatakuwa na sababu ya kumkataa. “Kwa sasa sina mpenzi wala mchumba, akitokea sina kipingamizi ila mbali na vigezo vingine awe na mapenzi ya dhati na mimi,” alisema Jokate.
Read more >>
Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi, Jokate alisema kuwa hana ‘mtu’ ila atakapotokea mwenye vigezo anavyotaka, hatakuwa na sababu ya kumkataa. “Kwa sasa sina mpenzi wala mchumba, akitokea sina kipingamizi ila mbali na vigezo vingine awe na mapenzi ya dhati na mimi,” alisema Jokate.
Jokate amekuwa msiri sana katika maisha
yake ya kimapenzi kiasi cha wengi kuamini ni msichana anayejiheshimu
sana ila aliwahi kuwa na uhusiano na mchezaji wa mpira wa kikapu,
Hasheem Thabeet anayekipiga kwenye Timu ya Oklahoma City Thunder ya
nchini Marekani.
JOKATE: AKU MIE, SIJAVUNJA NDOA YA DIDA
Mtangazaji wa Kipindi cha The One Show, Jokate Mwegelo ‘Jojo’
amefunguka kuwa hahusiki na kuvunjika kwa ndoa ya Khadija Shaibu ‘Dida’
kwani ni mshikaji wake na wanaheshimiana.
Akijibu tuhuma kuwa, yeye anahusika na kuparaganyika kwa ndoa hiyo kufuatia ‘ku-fall in love’ kwa mume wa Dida, Edzen Jumanne ambaye ni mtangazaji mwenzake, Jokate alisema:
“Yaani watu wanapenda kuungaunga maneno kweli, jamani mimi siwezi hata siku moja kuwa na Edzen, ni mfanyakazi mwenzangu halafu Dida ni mshikaji wangu siwezi kabisa, tena wasitake kunitibulia.”
Read more >>
Akijibu tuhuma kuwa, yeye anahusika na kuparaganyika kwa ndoa hiyo kufuatia ‘ku-fall in love’ kwa mume wa Dida, Edzen Jumanne ambaye ni mtangazaji mwenzake, Jokate alisema:
“Yaani watu wanapenda kuungaunga maneno kweli, jamani mimi siwezi hata siku moja kuwa na Edzen, ni mfanyakazi mwenzangu halafu Dida ni mshikaji wangu siwezi kabisa, tena wasitake kunitibulia.”
WAKUBWA TU: JOKATE AONYESHA SHANGA ZAKE NJENJE LIVE
Mwanamitindo maarufu na mbunifu wa mavazi nchini, Jokate mwegelo
(pichani) akiwa kwenye pozi lenye utata..Watu na Viuno vyao Shanga pale
kati
ALICHOPOSTI JOKATE KUHUSU CRISTIANO RONALDO, PIA AELEZA KWANINI ANAMKUBALI
Michuano
ya kombe la dunia imeendelea kuonyesha ukubwa wake kwa kuteka kila
habari kuu kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, mabilioni ya
watu duniani kote wakiwemo mastaa wakubwa wa kitaifa na kimataifa
wanafuatilia michuano hii ambayo ndio mikubwa kabisa katika soka
duniani.
Mmoja wa mastaa wa kibongo ambaye ameonyesha kufuatilia michuano hii pamoja na wachezaji shiriki ni Jokate Mwegelo, ambaye mtangazaji wa TV, muigizaji na mmiliki wa lebo mavazi na fashion kiujumla ya Kidoti.
Tangu kuanza kwa michuano hiyo Jokate amekuwa akiposti posti tofauti kuhusiana na michuano hiyo, huku akionyesha namna anavyomkubali mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo, mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno inayoshiriki kwenye kombe la dunia mwaka huu.
“Ronaldo ni mchezaji mzuri, anajituma uwanjani na anafunga magoli akiisadia timu anazochezea. Ana nidhamu ya kazi yake na akiifanya anaifanya kiuhakika na ndio maana tangu akiwa Manchester United nikajikuta namshabikia. Pamoja na hayo kitu kingine ambacho kinanifanya kumkubali Ronnie, ni namna ambavyo anajitoa kusaidia watu wasiojiweza, kama tulivyosikia juzi ametoa kiasi cha zaidi ya millioni 100 za kitanzania kusaidia matibabu ya mtoto aliyekuwa na matatizo fuvu la ubongo kujaa damu.”
Akizungumzia
michuano ya kombe la dunia, Kidoti alisema, “Kwenye michuano hii
nilikuwa nasapoti timu za Afrika lakini zinaniangusha, hazichezi vizuri.
Pia naisapoti Ureno kwa sababu ya nampenda Ronaldo, na Brazil pia
nawapenda wanacheza vizuri hasa yule Neymar. Van Persie pia namkubali,
lile goli alilofunga dhidi ya Spain kwa kichwa, aisee ni moja ya magoli
bora kabisa.”
HAWA NDIO MASTAA WA KIBONGO AMBAO NI WATOTO WA KISHUA, WEMA NDANI YA NYUMBA

Vanessa Mdee
Vanessa Hau Mdee au unaweza kumuita Vee au Vee Money alizaliwa mjini Arusha mwaka 1988. Vanessa mdee alikuzwa na baba yake Sammy Mdee (kwasasa ni marehemu )ambaye alikua ni mtu mzito kwenye nchi hii na mama yake sophia. Akiwa na umri mdogo Vanessa aliweza kusafiri nchi mbalimbali duniani. Vanessa Mdee alikulia miji ya New York , Paris , Nairobi na Arusha.

Nisher
Nisher ni mtoto wa Mtumishi wa Mungu Mh Nabii GeorDavie anayeongoza huduma ya Ngurumo ya Upako yenye makao yake jijini Arusha. Nisher amekulia katika maisha mazuri na hadi ni wakishua bado. Baba yake aliweza kumsaidia Nisher kufungua studio yenye thamani kama ya milioni 15 ili mtoto wake aendeleze kipaji alichonacho.

Jokate Mwengelo
Huyu unaweza kumuita mtoto wa Oysterbay kwani ndio alipokulia huku baba yake akifanya kazi serikalini. Kumbuka Jokate alizaliwa washington DC nchini Marekani ambapo wazazi wake walikua wakifanya kazi huko. Alipomaliza high school katika shule ya Loyola ndipo alipogombania Miss Tanzania mwaka 2006 na kushika nafasi ya 2.
JANGA JINGINE KWA MBASHA: ALIZWA HATI ZA NYUMBA, VIWANJA
LucciJina lake halisi anaitwa Luciano Tsere au unaweza kumuita Lucci ambaye ni producer maarufu nchini. lucci amezaliwa tarehe 30 September mwaka 1985 Lusaka Zambia, akiwa ni mzaliwa wa nne, wa mwisho kuzaliwa na akiwa mtoto wa kiume pekee kwenye familia yao. Lucci naye kama jokate amekulia Obey kwenye familia bora ambapo kwasasa mzee wake ni balozi wa Tanzania.

BINTI AOLEWA NA KIBABU KICHAWI , ALIYOYAKUTA NI MZITO, SOMA HAPA KUYAJUA
Wema Sepetu ni msichana anayetoka kwenye Familia ya kibalozi akiwa ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu (marehemu).Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew’s jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa huku akisoma elimu yake ya primary na sekondari katika shule ya ACADEMIC INTERNATIONAL iliyopo jijini Dar es Salaam kabla ya kwenda Nchini Malaysia kusomea mambo ya biashara za kimataifa katka chuo cha Limkokwing University.

MZEE MAJUTO AFUNGUA, BAADA YA KUKAA KWA MUDA MREFU, SOMA ALICHOKISEMA HAPA
WAFAHAMU BIFU LA WEMA NA JOKATE LILIPOFIKIA, BASI UKWELI WOTE HUU HAPA
KIDOTI AIBUKA NA UBUNIFU MPYA
MWANAMITINDO Jokate Mwegelo ameibuka na ubunifu mpya
wa sabuni ya kuogea inayokwenda kwa jina la Mo hiyo ikiwa ni baada ya
kutesa na bidhaa ya ndala.
Akipiga stori na Risasi Mchanganyiko, Jokate alisema uzinduzi wa sabuni hiyo unatarajiwa kufanyika leo Jumatano, Juni 18, mwaka huu ambapo yeye na timu yake watatembea kwa miguu kutokea mjini (Posta) kuelekea Mbagala huku wakigawa zawadi kwa akina mama.
“Nashukuru nimeweza kubuni tena bidhaa nyingine, nataka kuwaambia wasichana wenzangu, wasilale. Tukitaka tunaweza kufanya makubwa. Nawashauri wapenzi wangu wakae barabarani kunisubiria nitapita na kundi langu la Kidoti ili niwapatie zawadi,” alisema Jokate.
Jokate amekuwa akibuni mitindo mbalimbali kama nguo, nywele na ndala lakini pia ni mwigizaji wa sinema za Kibongo.
Read more >>
Akipiga stori na Risasi Mchanganyiko, Jokate alisema uzinduzi wa sabuni hiyo unatarajiwa kufanyika leo Jumatano, Juni 18, mwaka huu ambapo yeye na timu yake watatembea kwa miguu kutokea mjini (Posta) kuelekea Mbagala huku wakigawa zawadi kwa akina mama.
“Nashukuru nimeweza kubuni tena bidhaa nyingine, nataka kuwaambia wasichana wenzangu, wasilale. Tukitaka tunaweza kufanya makubwa. Nawashauri wapenzi wangu wakae barabarani kunisubiria nitapita na kundi langu la Kidoti ili niwapatie zawadi,” alisema Jokate.
Jokate amekuwa akibuni mitindo mbalimbali kama nguo, nywele na ndala lakini pia ni mwigizaji wa sinema za Kibongo.
JOKATE: ANASIFIKA KWA KUTOSUMBUA WAKATI AKIWA LOCATION KUPIGA PICHA ZA UMODO
hakika jokate ni modo wa ukweli africa na east africa kwa ujumla hivi
karibuni tumefanikiwa kupata picha zake kali ambazo amewahi kupiga
katika majalida mbali mbali, pia madirecta wamekuwa wakimsifia kwamba
katika modo tz ambao hawasumbui katika swala zima la kuweka pozi
anazoelekezwa na kamera man

Read more >>

NANI ZAIDI: WEMA SEPETU VS JOKATE MWENGELO
Wema Sepetu na jokate mwengelo ni kati ya wasichana warembo
hapa bongo na role models. Wote mwanzo wao ulitokana na mashindano ya
miss Tanzania ya mwaka 2006 ambapo wema sepetu aliibuka mshindi wa
kwanza huku jokate akikamata namba mbili.
Najua huwezi kumuongelea wema sepetu au jokate bila kumuingiza diamond platnumz kidogo. Mnamo mwaka 2010 hadi 2011 diamond alianza kwanza kumdate mshindi wa kwanza wa miss tz jokate na kuachana nae na kuamia kwa mshindi wa pili yaani wema. Je, diamond nae alikua anataka kujibu swali tunaloliuliza ? na kama amelijibu inabidi kushare jibu ilo na mashabiki tukajue.
Wema na jokate wote wanafanya movie na vigumu kujua nani zaidi katika
uigizaji wa movie sababu kila mtu anasababu yake ya kumkubali mmoja
wao.Twende kwenye fashion wema na jokate wamekua role models wa warembo
wengi katika swala la uvaaji.
Tukija kwenye Ujasiriamali wema na jokate hawapo nyuma. Wema
alianzisha kampuni yake ya Endless Fame Films ambayo inatengeneza bongo
movies. Pia wema anakipindi chake cha TV kinachoitwa In My Own Shoes
kinachooneshwa na Channel 5 EATV. Tukija kwa Jokate mwengelo kikubwa
kwake ni product ya Kidoti inayompa chati sana ukiachana na kazi ya
utangazaji anayofanya kwenye channelO ya Afrika Kusini.
Hata vibe magazine tuliliona hilo na kuamua kuwaweka wema na jokate
katika cover page wakati ndio kwanza kuna issue tatu tu huku nyingine
ikiwa ni kijana aliyewahi kuwadate wote diamond platnumz.
Read more >>
Najua huwezi kumuongelea wema sepetu au jokate bila kumuingiza diamond platnumz kidogo. Mnamo mwaka 2010 hadi 2011 diamond alianza kwanza kumdate mshindi wa kwanza wa miss tz jokate na kuachana nae na kuamia kwa mshindi wa pili yaani wema. Je, diamond nae alikua anataka kujibu swali tunaloliuliza ? na kama amelijibu inabidi kushare jibu ilo na mashabiki tukajue.
Wema na jokate wote wanafanya movie na vigumu kujua nani zaidi katika
uigizaji wa movie sababu kila mtu anasababu yake ya kumkubali mmoja
wao.Twende kwenye fashion wema na jokate wamekua role models wa warembo
wengi katika swala la uvaaji.
Tukija kwenye Ujasiriamali wema na jokate hawapo nyuma. Wema
alianzisha kampuni yake ya Endless Fame Films ambayo inatengeneza bongo
movies. Pia wema anakipindi chake cha TV kinachoitwa In My Own Shoes
kinachooneshwa na Channel 5 EATV. Tukija kwa Jokate mwengelo kikubwa
kwake ni product ya Kidoti inayompa chati sana ukiachana na kazi ya
utangazaji anayofanya kwenye channelO ya Afrika Kusini.
Hata vibe magazine tuliliona hilo na kuamua kuwaweka wema na jokate
katika cover page wakati ndio kwanza kuna issue tatu tu huku nyingine
ikiwa ni kijana aliyewahi kuwadate wote diamond platnumz.
SIFA ZA MUME MTARAJIWA WA JOKATE NI HIZI HAPA, ZISOME KAMA WATAKA KUWA NI WEWE
MTOTO mzuri kunako anga la watangazaji Bongo, Jokate Mwegelo ameibuka na kuanika sifa za mwanaume ambaye anafaa kuwa mume wake.
Akipia stori na paparazi wetu juzi jijini Dar, Jokate alisema anapenda mwanaume ambaye atajua kutafuta fedha kwa nguvu zote, awe anajua kubembeleza na awe na nidhamu kwa wazazi wake.
“Sifa ya mume ninayemtaka, anapaswa kuwa mtafutaji wa fedha, sipendi mwanaume asiyependa kutafuta, awe anajituma kwa kazi zake na kwa mpenzi au familia yake na pia ajue kunibembeleza,’’ alisema Jokate.
Read more >>
Akipia stori na paparazi wetu juzi jijini Dar, Jokate alisema anapenda mwanaume ambaye atajua kutafuta fedha kwa nguvu zote, awe anajua kubembeleza na awe na nidhamu kwa wazazi wake.
“Sifa ya mume ninayemtaka, anapaswa kuwa mtafutaji wa fedha, sipendi mwanaume asiyependa kutafuta, awe anajituma kwa kazi zake na kwa mpenzi au familia yake na pia ajue kunibembeleza,’’ alisema Jokate.
Subscribe to:
Posts (Atom)














