IMEKAA poa sana! Shosti anayesukuma maisha kupitia
mgongo wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ ameahidi kufanya mabadiliko
ya mavazi kuanzia kwenye filamu hadi maisha yake binafsi.
Akizungumza na mwandishi wetu, Mainda alisema kuanzia sasa watu
wategemee mabadiliko makubwa katika maisha yake kwani ameamua kuvikacha
viminihivyo anaishi katika matakwa dini.
“Nitafanya filamu za kumtukuza Mungu hata kama zitakuwa si za
kumtukuza moja kwa moja ila zitakuwa na maadili mazuri yasiyopotosha
jamii na kumuudhi Mungu, sitavaa vimini tena,’’ alisema Mainda.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment