Nimepata Habari kuwa Mwanamuziki Ray C yupo hoi Kitandani Akiugua
Ugonjwa Mpya Unaojulikana kama Homa ya Denge...
Inasemekana Baada ya
kutoa tuzo ya Kill Siku ya Jumamosi Kesho yake alianza kuumwa Kichwa na
Baadae alipelekwa Hospitalini Mwananyamala Akidhani ana Malaria,
Alipopimwa ikagundulika unaumwa huo ugonjwa wa Denge......
Ugonjwa huo
inasemekana unaambikizwa kwa kung'atwa na Mbu
Get Well Soon
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment