JINI KABULA: ANAYENITAKA KIMAHABA BASI ANIFUATE NYUMBANI NA SIO KUKUTANA BAR


Sitaki  tena....Ndivyo  unavyoweza  kusema  kutokana  na kauli  ya  nyota  wa filamu  za  kibongo  Mirium Jolwa  "Jini Kabula"  ambaye  amedai  kuwa  kwa  sasa  hataki  kusikia  mapenzi  ya  pesa  na  kama  kuna  mwanaume  anayemtaka  basi  amfuate  nyumbani  na  si  kuitana  baa.....

Kabula  alisema  kuwa  wanaume  wengi  wamekuwa  na  tabia  ya  kuitana  baa  huku  wakihisi  kuwa  kila  mwanamke  ni  mlevi  kutokana  na  tabia  ya  baadhi  ya  wasanii  ambao  wamekuwa  wakijirahisisha  kwa  kupewa  pombe...

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger