BAADA ya kampuni ya marehemu Steven Kanumba, Kanumba The Great Film kudaiwa kufungwa, sasa imekarabatiwa na kuanza kazi upya.
Mwanahabari wetu alifika kwenye ofisi hizo Jumatano iliyopita ambapo
alishuhudia baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo walifanyia usafi vifaa
mbalimbali kwa ajili ya kuanza kazi upya.
“Tulifunga kwa muda lakini kwa sasa tumerudi kivingine baada ya
kufanya maboresho katika ofisi, hivyo mashabiki wa Kanumba The Great
Film wategemee makubwa,” alisema mmoja wa wafanyakazi hao huku akiomba
kustiriwa jina.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment