STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha
‘Baby Madaha’ amesema kuwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umembana kiuchumi
kwani kumbi nyingi za starehe zimefungwa kwa hiyo anashindwa kupata
pesa.
Akipiga stori mbili tatu baada ya kuvutiwa waya na mwandishi wa
gazeti hili, Baby Madaha alisema kwa upande wake michongo yake mingi ya
hela anaipata kupitia kumbi za starehe hivyo kwa sasa fedha haingii
kabisa.
“Naomba Mwezi Mtukufu wa Ramadhani uishe maana mtonyo umekata halafu
sina namna ya kuingiza fedha zaidi ya muziki hivyo hali si hali kwa sasa
jamani,” alisema Baby.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment