MKONGWE wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’
amedaiwa kubatizwa juzikati katika Kanisa Katoliki Nyalikungu wilayani
Maswa, Simiyu lakini mwenyewe amekanusha.
Chanzo makini kilichodai kushuhudia ubatizo, kilieleza kuwa Johari
alifika Jumapili kanisani hapo na watu kuhoji kwa nini achelewe
kubatizwa? Alipotafutwa na mwanahabari wetu, Johari alitiririka:
“Kweli nilikwenda kwenye hilo kanisa lakini sikubatizwa kama
alivyosema huyo mtu. Nitabatizwaje mara mbili? Mimi nilishabatizwa tangu
utotoni.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment