Mfanyakazi wa kampuni ya ving'amuzi ( jina kapuni) tawi la Moshi anayefahamika kwajina moja la Neema, anayedaiwa kuwa ni mke wa mtu ameipaka matope kampuni hiyo baada ya kupiga picha za utupu....
Picha
hizo chafu zaidi ya nne zinamuonyesha akiwa mtupu kama alivyozaliwa
huku akiyanadi maubile yake nyeti kiasi cha kuonekana bayana....
Uchunguzi wetu umebaini kuwa mwanadada huyo alipiga picha hizo kwa hiari yake na hakuwahi kumshirikisha mumewe.....
Imeelewa
kuwa mara baada ya kupiga picha hizo, Neema alizituma kwa mwanadada
mmoja anayesifika kwa kufanya mapenzi ya jinsia moja 'Msagaji' mkazi wa
jiji la Dar es Salaam....
"Kwa
kweli sababu ya kuzituma sisi hatujui.Lakini siku hizi kuna tabia mpya
ya wanawake kubadilishana picha zao za utupu.Katika hili wapo wake za
watu na wanafunzi wa vyuo vikuu, haifahamiki ni kwa nini wanafanya mambo
haya," kimesema chanzo chetu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment