MAMA: DIAMOND HAWATAKI ILA WANAJITONGOZESHA WENYEWE, WENGINE WANANITUMIA HADI PICHA ZA UTUPU

MAMA mzazi wa nyota wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kassim ‘Bi Sandra’ amesema baadhi ya wasichana wanajitongozesha kwa mwanaye kwa kuwa ni mtu maarufu.
Mama Diamond amesema wasichana wamekuwa na tabia ya kutumia hata namba yake ya simu na kutuma picha za utupu kwake na kwa mwanaye.

Mama mzazi wa msanii nyota wa muziki, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kassim ‘Bi Sandra’ akitafakari jambo.
“Napata shida kwa kweli, wasichana wanajitongozesha kwa kupitia namba yangu ya simu, mtu anakupigia anamuulizia Diamond na wengine ndiyo wanatuma hadi picha za utupu kwa kutumia hii mitandao ya kijamii wenyewe wanasema,” alisema.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger