SHIJA ANASWA AKIKATA MAUNO KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI

STAA wa filamu za Kibongo, Deogratius Shija ‘Shija’ alinaswa akiyakata mauno kama hana akili nzuri.
Staa wa filamu za Kibongo, Deogratius Shija ‘Shija’ akikata mauno.
Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita nyumbani kwa mwigizaji Aunt Ezekiel kulipokuwa na sherehe ya mtoto kutimiza siku arobaini tangu kuzaliwa ambapo staa huyo alidaiwa kufanya hivyo akiwa na ‘akili za usiku’.
...‘Shija’ akionekana kuchangamka katika sherehe iliyofanyika nyumbani kwa anti Ezekiel.
“Mh! Nimejikuta naingia uwanjani moja kwa moja kwani ngoma ilinishawishi aisee nimecheza kinoma,” alisema Shija kwa lafudhi ya kukatakata maneno.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger