ILE NAMBA INAYOSEMEKANA NIYAFREMASON ILIYOMPIGIA TUNDA MAN YAPATIKANA, SIKILIZA MKASA MZIMA HAPA

2ndaa 
Hii stori ilianzia hapa hapa millardayoTV baada ya Tunda Man kusema kuwa amepigiwa simu na namba asiyoijua na kisha baada ya kuongea nae akaanza kuhisi hali ya utofauti katika mwili wake.
Soudy Brown kaenda mbali zaidi kwa kuipiga ile namba kisha kuwapigia mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA kwa ajili ya muongozo juu ya hiyo namba.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger