UKATILI: MTOTO WA MIAKA 4 ABAKWA NA JEMBA LA MIAKA 42 HUKO TANDALE UWANJA WA FISI, NA MTUHUMIWA AJIFANYA CHIZI NDANI YA MAHABUSU ILI POLISI WAMUACHIE

 Huyu ni mtoto mwingine mwenye umri wa miaka 4 mkazi wa Tandale mtaa wa Muungano ambae siku ya Jumatatu wiki amebakwa na jemba lenye umri wa miaka 42. E-fm radio ambayo imekuwa karibu na jamii kwa 100% Jana jumatano ilikuwa na mahojiano ya moja kwa moja toka eneo la tukio na hata hivyo kituo hicho cha radio kimelaani vikali matukio ya aina hiyo na kulishauri jeshi la polisi nchini kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote wanafanya ukatili huu kwa watoto.
CREDIT: 93.7 EFM RADIO

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger