ADAM MCHOMVU, FETTY NA B12 WAFUNGUKA KUHUSU UGOMVI WA JUZI.

B12, Adamu Mchomvu na Dj Fetty YAP UMEKWISHA: Ule mtafaruku ulioleta sintofahamu kwa mashabiki mamilioni wa radio ya watu Clouds FM baada ya watangazaji wake mahiri B12, Adam na Dj Fetty leo umefika tamati...
Kumbe ishu hiyo sio halisi kama baadhi ya watu walivyokuwa wakifikiria, kwa mujibu wa watangazaji hao kupitia kipindi cha XXL muda huu wamefunguka kuwa ulikua ni mpango kwa ajili ya kupima kama watanzania wanaweza kupaza sauti....!Ikiwa ni mahususi zaidi kuhamasisha kampeni hiyo...
PAZA SAUTI, UKIMYA HAUSADII...!!

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger