RAY C AMFUNGUKIA TID MANENO MAZITO



Baada ya kukaa kimya kufuatia kutukanwa na TID kupitia mtandao wa Instagram, Ray C amemjibu staa huyo.

“Hi everyone!!!Asanteni kwa maombi yenu!mama anaendelea vizuri Mungu ni Mwema…………(na kuhusu @tidmnyama -Nimeona post yako,Asante kwa matusi yako ila sikuwa na nia mbaya tofauti na ulivyofikiria anyway Nakuombea kwa Mungu akuepushe na majanga ya dunia!ubarikiwe sana babaa,” ameandika Ray C.

Ray C ametoa kauli hiyo baada ya siku kadhaa zilizopita TID kumtukana baada ya kucomment kwenye post yake: Come let’s talk Tid ur the best musician in east Africa pls lets talk @tidmnyama.” Hata hivyo Ray C hakufafanua anataka waongee kuhusu jambo gani na TID.

TID alijibu: “Bi*ch leave me alone am not ur type also I don’t need shit from you,ur mistake is yours nakuomba can u jus f*ck off,help ur boyfriend,I have never liked you,full stop,”

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger