Showing posts with label TID. Show all posts
Showing posts with label TID. Show all posts

RAY C AMFUNGUKIA TID MANENO MAZITO



Baada ya kukaa kimya kufuatia kutukanwa na TID kupitia mtandao wa Instagram, Ray C amemjibu staa huyo.

“Hi everyone!!!Asanteni kwa maombi yenu!mama anaendelea vizuri Mungu ni Mwema…………(na kuhusu @tidmnyama -Nimeona post yako,Asante kwa matusi yako ila sikuwa na nia mbaya tofauti na ulivyofikiria anyway Nakuombea kwa Mungu akuepushe na majanga ya dunia!ubarikiwe sana babaa,” ameandika Ray C.

Ray C ametoa kauli hiyo baada ya siku kadhaa zilizopita TID kumtukana baada ya kucomment kwenye post yake: Come let’s talk Tid ur the best musician in east Africa pls lets talk @tidmnyama.” Hata hivyo Ray C hakufafanua anataka waongee kuhusu jambo gani na TID.

TID alijibu: “Bi*ch leave me alone am not ur type also I don’t need shit from you,ur mistake is yours nakuomba can u jus f*ck off,help ur boyfriend,I have never liked you,full stop,”
Read more >>

MASHABIKI WAMPONDA TID, KISA NI MATUSI YAKE KWA RAY C

Huu ni muendelezo wa story ya jana inayomhusu TID kumtusi sana Ray C baada ya Ray C kumwambia TID katikak intsgram kwamba aende kwa Ray C waongee maana TID ni msanii bora Afrika Mashariki.

Baada ya Matusi ya TID kwa Ray C, mashabiki wa muziki wamemshushia maneno (matusi) mazito TID. Maoni ya raia hao yanaonesha kwamba TID aliitwa na Ray C ili apewe ushauri wa kuachana na madawa ya kulevya kama alivyofanya kwa wengine ambao baadhi wapata matibabu na wanakaribia kupona. 
Kwa kutunza maadili ya tovuti yetu hatutaweza kuyaweka maoni ya mashabiki hao yaliyojaa matusi mengi sana kwa TID. Kama TID amebahatika kuyasoma maoni hayo atakuwa aidha kakasirika sana au atajifunza kitu.
Read more >>
 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger